Noble Quran » Swahili » Sorah Al-Fajr ( The Dawn )
Choose the reader
Swahili
Sorah Al-Fajr ( The Dawn ) - Verses Number 30
أَلَمْ تَرَ كَيْفَ فَعَلَ رَبُّكَ بِعَادٍ ( 6 )

Kwani hukuona jinsi Mola wako Mlezi alivyo wafanya kina A'di?
وَثَمُودَ الَّذِينَ جَابُوا الصَّخْرَ بِالْوَادِ ( 9 )

Na Thamudi walio chonga majabali huko bondeni?
فَأَمَّا الْإِنسَانُ إِذَا مَا ابْتَلَاهُ رَبُّهُ فَأَكْرَمَهُ وَنَعَّمَهُ فَيَقُولُ رَبِّي أَكْرَمَنِ ( 15 )

Ama mtu anapo jaribiwa na Mola wake Mlezi, akamkirimu na akamneemesha, husema: Mola wangu Mlezi amenikirimu!
وَأَمَّا إِذَا مَا ابْتَلَاهُ فَقَدَرَ عَلَيْهِ رِزْقَهُ فَيَقُولُ رَبِّي أَهَانَنِ ( 16 )

Na ama anapo mjaribu akampunguzia riziki yake, husema: Mola wangu Mlezi amenitia unyonge!
كَلَّا إِذَا دُكَّتِ الْأَرْضُ دَكًّا دَكًّا ( 21 )

Sivyo hivyo! Itakapo vunjwa ardhi vipande vipande,
وَجِيءَ يَوْمَئِذٍ بِجَهَنَّمَ ۚ يَوْمَئِذٍ يَتَذَكَّرُ الْإِنسَانُ وَأَنَّىٰ لَهُ الذِّكْرَىٰ ( 23 )

Na ikaletwa Jahannamu siku hiyo, siku hiyo mtu atakumbuka! Lakini kukumbuka huko kutamfaa nini?
يَقُولُ يَا لَيْتَنِي قَدَّمْتُ لِحَيَاتِي ( 24 )

Atasema: Laiti ningeli jitangulizia kwa uhai wangu!
فَيَوْمَئِذٍ لَّا يُعَذِّبُ عَذَابَهُ أَحَدٌ ( 25 )

Basi siku hiyo hataadhibu yeyote namna ya kuadhibu kwake.
Random Books
- Vipi tusome Tarekhe ya Aal-Beit na Masahaba?-
Source : http://www.islamhouse.com/p/336327
- Je, IMANI YA UTATU Ni ya Ufunuo Mtakatifu?Je, IMANI YA UTATU Ni ya Ufunuo Mtakatifu?.
Source : http://www.islamhouse.com/p/371262
- ABU HURAIRA SAHABA WA MTUME-
Source : http://www.islamhouse.com/p/336329
- KUSAFISHA KUW AAMINI UCHAFU WA KUTO AMINI-
Source : http://www.islamhouse.com/p/339834
- MASWALI 60 KWA WAKRISTOMASWALI 60 KWA WAKRISTO.
Source : http://www.islamhouse.com/p/371266